1 December 2014

KUMBE KULALA BILA NGUO NI DAWA YA UGONJWA WA KISUKARI??SOMA HAPA UJUE

njiwa

 




Utafiti mpya uliotolewa nchini Marekani, umebainisha kuwa watu wanaopenda kulala bila nguo wanapata faida nyingi ikiwamo ya kuwa na uwezekano mdogo wa kupata ugonjwa wa kisukari.


Ripoti hiyo ya utafiti iliyotolewa na Taasisi ya Kitaifa ya Usingizi (NSF), inaeleza umuhimu wa watu kulala bila nguo kuwa ni kuimarisha uhusiano kwenye ndoa na kupunguza kalori nyingi.
Wataalamu wa usingizi wanasema kwamba ni vizuri mtu akawa katika hali ya utulivu wakati wa usiku kwa kuwa joto la mwili linahitaji kuteremka hadi nyuzi 50 za kipimo cha Fahrenheart ili mtu aweze kulala.
njiwa2

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook